Msaada nahitaji vitabu hivi

gfsonwin

JF-Expert Member
Apr 12, 2012
18,274
20,670
Wana bodi,

Polen kwa majukumu ya kujenga taifa.

Ninahitaj vitabu vya chemistry, Physics na Biology vya mtaala wa Zanzibar vilivyochapwa na oxford. madarasa ya kidato cha 1&2 na 3&4. Vinaitwa Chemistry book for zanzibar schools form 1&2 na 3&4 mpiga chapa ni oxford Kwa mtu yeyote aliyeko Zanzibar ama bara ambaye anajua wapi naweza kuvipata anitaarifu.

Nitahitaj kopi kama 20 au 30 kwa ajili ya shule kwa kila somo. sehem nilizopita kuvitafuta msijavipata.

Mods naombeni mnisaidie watu wengi wauone huu uzi. vinahitajika kwa haraka sana
 
ndio nitaftie mkuu.
ninavihitaj kwa haraka sana
Mkuu, hawa oxford wapo pale Mikocheni. Nadhani ni ule mtaa wa Barabara ya kwenda kwa Lwakatare. Kuna bango lao Barabarani. Ukienda pale utapata Muongozo. Kuna siku nlienda nikakuta wana vitabu kibao kama sample. Wacheck au uende pale. Si mbali toka barabarani. Kama mita mia tu

P.O. Box 5299
Mikocheni "B"
Dar-es salaam
Tanzania
255
Telephone: 2781403/4
 
Mkuu, hawa oxford wapo pale Mikocheni. Nadhani ni ule mtaa wa Barabara ya kwenda kwa Lwakatare. Kuna bango lao Barabarani. Ukienda pale utapata Muongozo. Kuna siku nlienda nikakuta wana vitabu kibao kama sample. Wacheck au uende pale. Si mbali toka barabarani. Kama mita mia tu

P.O. Box 5299
Mikocheni "B"
Dar-es salaam
Tanzania
255
Telephone: 2781403/4
Long live jf......
Thank you mdogo ake mimi, umenisaidia sanaaaa......
Mungu akubariki zaid na zaid na akupe maisha marefu uzidi kuwa msaada kwa wengi.
Love you more brodah!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom