Msaada: Nahitaji vijana wenzangu tuungane kwa ajili ya mradi

Dorie Benas

New Member
Jun 5, 2023
2
5
Hello JamiiForums,

Mimi ni binti yenu, mdogo wenu, rafiki yenu na Mtanzania mwenzenu. Nina miaka 24, mimi nimekuja kwenu nahitaji msaada wa mawazo yenu. Naishi Mwanza napendelea sana kujitoa kwenye jamii, especially kutoa Elimu ya kile ninachokifahamu kuhusiana na Sekta mbalimbali kama Afya, uvuvi n.k

Sasa shida inakuja Exposure sipati yaani natamani nijitolee kwenye taasisi au hata mikutano tu nipewe topic ya kuelezea mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya nchi yangu, hicho tu napenda sana au nipate vijana wenzangu hata wawili tufanye jambo kubwa kwa vitendo lionekane jamii ipate Elimu kupitia sisi jamani napenda ila nakosa exposure, ninakuwa na idea tu sasa nakosa kuziongea na kuzifanyia kazi kutokana na kukosa sapoti.

Naombeni ushauri nifanye nini
 
Hello JamiiForums,

Mimi ni binti yenu, mdogo wenu, rafiki yenu na Mtanzania mwenzenu. Nina miaka 24, mimi nimekuja kwenu nahitaji msaada wa mawazo yenu. Naishi Mwanza napendelea sana kujitoa kwenye jamii, especially kutoa Elimu ya kile ninachokifahamu kuhusiana na Sekta mbalimbali kama Afya, uvuvi n.k

Sasa shida inakuja Exposure sipati yaani natamani nijitolee kwenye taasisi au hata mikutano tu nipewe topic ya kuelezea mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya nchi yangu, hicho tu napenda sana au nipate vijana wenzangu hata wawili tufanye jambo kubwa kwa vitendo lionekane jamii ipate Elimu kupitia sisi jamani napenda ila nakosa exposure, ninakuwa na idea tu sasa nakosa kuziongea na kuzifanyia kazi kutokana na kukosa sapoti.

Naombeni ushauri nifanye nini
Mradi huo ni event au? Kwa nn usijitolee kwemye mashirika yenye miradi ya event kama Aaph au ths?
 
Hongera sana.

Jiunge na Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais (President Supporters Network - PSN) wana Programs mbalimbali za watu kujitolea kwenye jamii kwa niaba ya Rais.

Unajitolea kuendana na elimu yako, akili zako, nguvu zako ama utashi wako wowote ule kwa niaba ya Rais aliyepo madarakani.

Mfano wa baadhi ya Programs ni kama ifuatavyo:

a. Citizens Volunteering Program (CVP)

- Hii ni kwa ajili ya watu kujitole kwa ujumla wake kwenye masuala yoyote yanayohusu jamii.

b. Meza ya Rais | The President Table

- Hii inahusu Usimamizi shirikishi kwenye huduma zinazotolewa kwa wananchi.

Zipo nyingi sana kila mmoja anapata nafasi ya kujitolea kwa ajili ya Taifa lake kwa niaba ya Rais wa nchi.

Karibu. Jiunge nasi.
 
Unachotakiwa kufanya binti yangu jaribu kutembelea Organisation zinazodeal na vitu unavyotamani kuvifanya uombe kujitolea japo unaweza kuomba hata kujitolea na bado ukakataliwa hilo lisikukatishe tamaa.

Lakini kama ungekuwa na pesa na timu ya vijana wenzako wenye uchu na uwezo usiokuwa na magumashi ningekushauri mkodi chumba mkifanye kama ofisi msajiri Organisation mtengeneze website nzuri na kuwa active kwenye social media, mjipe mda wa kuomba miradi hata kama itachukua miaka mitatu, na mkifanikiwa kupata miradi hakikisheni mnakuwa waaminifu ili malengo yenu yatimie na mzidi kuendelea.

Wakati wote jitahidini kuhudhuria events mbalimbali kuona wenzenu wanafanyaje na pia mnaweza pata nafasi ya kuonesha mlichonacho. Jiwekeni karibu na Organisation zenye malengo sawa na yenu kwani kuna wakati baadhi ya Organisation inatokea zinakuwa na miradi na zinatafuta partners inaweza ikawa bahati yenu kupewa baadhi ya activities, hakikisheni hamshirikiani na Organisation zenye mambo ya upinde kwani hili ni janga kwa Organisation nyingi.

Yangu ni hayo kwako binti yangu.
 
Hongera sana.

Jiunge na Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais (President Supporters Network - PSN) wana Programs mbalimbali za watu kujitolea kwenye jamii kwa niaba ya Rais.

Unajitolea kuendana na elimu yako, akili zako, nguvu zako ama utashi wako wowote ule kwa niaba ya Rais aliyepo madarakani.

Mfano wa baadhi ya Programs ni kama ifuatavyo:

a. Citizens Volunteering Program (CVP)

- Hii ni kwa ajili ya watu kujitole kwa ujumla wake kwenye masuala yoyote yanayohusu jamii.

b. Meza ya Rais | The President Table

- Hii inahusu Usimamizi shirikishi kwenye huduma zinazotolewa kwa wananchi.

Zipo nyingi sana kila mmoja anapata nafasi ya kujitolea kwa ajili ya Taifa lake kwa niaba ya Rais wa nchi.

Karibu. Jiunge nasi.
Hii ni program kwa ajili ya Rais wa nchi gani ?
 
Unachotakiwa kufanya binti yangu jaribu kutembelea Organisation zinazodeal na vitu unavyotamani kuvifanya uombe kujitolea japo unaweza kuomba hata kujitolea na bado ukakataliwa hilo lisikukatishe tamaa.

Lakini kama ungekuwa na pesa na timu ya vijana wenzako wenye uchu na uwezo usiokuwa na magumashi ningekushauri mkodi chumba mkifanye kama ofisi msajiri Organisation mtengeneze website nzuri na kuwa active kwenye social media, mjipe mda wa kuomba miradi hata kama itachukua miaka mitatu, na mkifanikiwa kupata miradi hakikisheni mnakuwa waaminifu ili malengo yenu yatimie na mzidi kuendelea.

Wakati wote jitahidini kuhudhuria events mbalimbali kuona wenzenu wanafanyaje na pia mnaweza pata nafasi ya kuonesha mlichonacho. Jiwekeni karibu na Organisation zenye malengo sawa na yenu kwani kuna wakati baadhi ya Organisation inatokea zinakuwa na miradi na zinatafuta partners inaweza ikawa bahati yenu kupewa baadhi ya activities, hakikisheni hamshirikiani na Organisation zenye mambo ya upinde kwani hili ni janga kwa Organisation nyingi.

Yangu ni hayo kwako binti yangu.
Una kitu …… wasikupuuze ngoja ntakutafta
 
Hello JamiiForums,

Mimi ni binti yenu, mdogo wenu, rafiki yenu na Mtanzania mwenzenu. Nina miaka 24, mimi nimekuja kwenu nahitaji msaada wa mawazo yenu. Naishi Mwanza napendelea sana kujitoa kwenye jamii, especially kutoa Elimu ya kile ninachokifahamu kuhusiana na Sekta mbalimbali kama Afya, uvuvi n.k

Sasa shida inakuja Exposure sipati yaani natamani nijitolee kwenye taasisi au hata mikutano tu nipewe topic ya kuelezea mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya nchi yangu, hicho tu napenda sana au nipate vijana wenzangu hata wawili tufanye jambo kubwa kwa vitendo lionekane jamii ipate Elimu kupitia sisi jamani napenda ila nakosa exposure, ninakuwa na idea tu sasa nakosa kuziongea na kuzifanyia kazi kutokana na kukosa sapoti.

Naombeni ushauri nifanye nini
Jiunge UVCCM.
 
Umezungumzia uvuvi .mambo ya ufugaji wa samaki unayajua ? Uanze na mm kunipa elimu
 
Hello JamiiForums,

Mimi ni binti yenu, mdogo wenu, rafiki yenu na Mtanzania mwenzenu. Nina miaka 24, mimi nimekuja kwenu nahitaji msaada wa mawazo yenu. Naishi Mwanza napendelea sana kujitoa kwenye jamii, especially kutoa Elimu ya kile ninachokifahamu kuhusiana na Sekta mbalimbali kama Afya, uvuvi n.k

Sasa shida inakuja Exposure sipati yaani natamani nijitolee kwenye taasisi au hata mikutano tu nipewe topic ya kuelezea mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya nchi yangu, hicho tu napenda sana au nipate vijana wenzangu hata wawili tufanye jambo kubwa kwa vitendo lionekane jamii ipate Elimu kupitia sisi jamani napenda ila nakosa exposure, ninakuwa na idea tu sasa nakosa kuziongea na kuzifanyia kazi kutokana na kukosa sapoti.

Naombeni ushauri nifanye nini
Nitakutafuta kama idea zikiendana tufanye kitu
 
Hello JamiiForums,

Mimi ni binti yenu, mdogo wenu, rafiki yenu na Mtanzania mwenzenu. Nina miaka 24, mimi nimekuja kwenu nahitaji msaada wa mawazo yenu. Naishi Mwanza napendelea sana kujitoa kwenye jamii, especially kutoa Elimu ya kile ninachokifahamu kuhusiana na Sekta mbalimbali kama Afya, uvuvi n.k

Sasa shida inakuja Exposure sipati yaani natamani nijitolee kwenye taasisi au hata mikutano tu nipewe topic ya kuelezea mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya nchi yangu, hicho tu napenda sana au nipate vijana wenzangu hata wawili tufanye jambo kubwa kwa vitendo lionekane jamii ipate Elimu kupitia sisi jamani napenda ila nakosa exposure, ninakuwa na idea tu sasa nakosa kuziongea na kuzifanyia kazi kutokana na kukosa sapoti.

Naombeni ushauri nifanye nini
chai
 
Hapo ktk sekta ya UVUVI nipo interested..

Ingawa si UVUVI wa kawaida, bali UFUGAJI wa SAMAKI then kufanya UVUVI baada ya kufuga.

Sijajua ww exposure yako ktk eneo la Uvuvi ni ipi hasa?
 
Back
Top Bottom