Msaada: Nahitaji sehemu nzuri ya kulala Masasi, Mtwara

Nilijisahau kuleta feedback kwa kweli. Asante kwa kunikumbusha. Yes, niliweza kwenda Masasi for the first time. Nilifikia kwa ndugu ambao walinishauri nikae kwao. Ila nilitembelea baadhi ya lodges kuona situation. Zile za TZS 10,000 mpaka 15,000 kwa kweli hazikuwa poa, ila siyo mbaya kama huwezi ongeza pesa kidogo kwenda zenye gharama zaidi. Nilipanda Baraka VIP kwenda na kurudi. Ilikuwa Shs 35,000 nadhani each way. Nilipandia Temeke. Sijaona u VIP wa hilo basi, zaidi ya ukubwa wa viti kwenye VIP cabin ambayo iko mbele. Mlango wa kutenganisha VIP na Economy ulikuwa unapiga kelele non-stop, ukichanganya na muziki wa Injili kwenye video ambayo quality ya nyimbo haikuwa nzuri. Ilikuwa makelele zaidi badala ya kiburudisho.

Sehemu nzuri ya starehe ilikuwa Kibo Bar and restaurant, na ilikuwa imechangamka sana siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili. Kulikuwa na promotion ya beer Saturday, ambayo ilikuwa safi. Pia niliweza kwenda nadhani inaitwa Iwawa night club. Siku hiyo ilikuwa inazinduliwa tena chini ya new management. Walimwalika TID kutoka Dar kuja kutumbuiza. Na pia kulikuwa na vijana wawili local artists walikuwa wanaperform siku hiyo. Hawakuwepo watu wengi siku hiyo hapo Iwawa, na sijaenda tena hapo. Nilikuwa naishia Kibo tu, kwani ndiyo niliona sehemu imechangamka. Usafiri mkuu boda boda. Halafu main street nimeona ni maduka mengi ya magodoro na mitumba ile ya mnada. Siku moja ilikuwa mechi ya simba na yanga nikiwa huko. Simba ilifungwa nadhani bao moja kama sikosei. Mji ulipooza nikajua wengi wa masasi ni wapenzi wa simba. Nilikaa wiki moja na nusu na kurudi Dar

Next trip napanga kwenda Kigoma! Nayo itakuwa mara ya kwanza
Vipi ulifika Mahuta Shimoni Newala pia?
 
Nilijisahau kuleta feedback kwa kweli. Asante kwa kunikumbusha. Yes, niliweza kwenda Masasi for the first time. Nilifikia kwa ndugu ambao walinishauri nikae kwao. Ila nilitembelea baadhi ya lodges kuona situation. Zile za TZS 10,000 mpaka 15,000 kwa kweli hazikuwa poa, ila siyo mbaya kama huwezi ongeza pesa kidogo kwenda zenye gharama zaidi. Nilipanda Baraka VIP kwenda na kurudi. Ilikuwa Shs 35,000 nadhani each way. Nilipandia Temeke. Sijaona u VIP wa hilo basi, zaidi ya ukubwa wa viti kwenye VIP cabin ambayo iko mbele. Mlango wa kutenganisha VIP na Economy ulikuwa unapiga kelele non-stop, ukichanganya na muziki wa Injili kwenye video ambayo quality ya nyimbo haikuwa nzuri. Ilikuwa makelele zaidi badala ya kiburudisho.

Sehemu nzuri ya starehe ilikuwa Kibo Bar and restaurant, na ilikuwa imechangamka sana siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili. Kulikuwa na promotion ya beer Saturday, ambayo ilikuwa safi. Pia niliweza kwenda nadhani inaitwa Iwawa night club. Siku hiyo ilikuwa inazinduliwa tena chini ya new management. Walimwalika TID kutoka Dar kuja kutumbuiza. Na pia kulikuwa na vijana wawili local artists walikuwa wanaperform siku hiyo. Hawakuwepo watu wengi siku hiyo hapo Iwawa, na sijaenda tena hapo. Nilikuwa naishia Kibo tu, kwani ndiyo niliona sehemu imechangamka. Usafiri mkuu boda boda. Halafu main street nimeona ni maduka mengi ya magodoro na mitumba ile ya mnada. Siku moja ilikuwa mechi ya simba na yanga nikiwa huko. Simba ilifungwa nadhani bao moja kama sikosei. Mji ulipooza nikajua wengi wa masasi ni wapenzi wa simba. Nilikaa wiki moja na nusu na kurudi Dar

Next trip napanga kwenda Kigoma! Nayo itakuwa mara ya kwanza
Hongera kwa mrejesho..vipi hukukamatia kiuno cha toto la kimakua.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom