doama
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 808
- 649
Nicheki dm
Hapana mkuu bado
Hapana mkuu bado
Mkuu nimesha kupmNicheki dm
Nashukuru sana MkuuUpo Arusha.. Dah ungekuwa Dar ningejitahidi kukufundisha bila kuchangia chochote (USIKU ZAID) ,ila utapata wadau huko.. Watakusaidia.
Mkuu nimeku pm mkuuNicheki dm
Au kama kuna mtu anaweza kunilipa driving kwa jioni nkishatoka kibaruani naingia tunaweza weka makubaliano kila mwezi ntamlipa kiasi kidogo dogo mpaka hela yake aliyotumia kwa driving and licence itimie
Wakuu kwema
Asante mkuuIngia Google
Asante kwa ushauri mkuuNaongea bila kupepesa macho WALIOENDA VYUO WENGIWAO WALITOKA KAPA trust me
Mkuu doama nimeshakutumia mawasiliano PMNipe mawasiliano yako
Driving school ni Massa na unachagua mwenyewe.Waweza waambia Wawe wanakufubdisha masaa kadhaa jumamosi au jumapili hawana shida.Wako watu hufundishwa lunch time wengine wakitoka kazini,au chuoni nkNi kweli mkuu ndo najichanga changa mkuu ila pia muda wa kukaa driving school ntaukosa ndo mana nataka kujua kwanza then siku nkipata hela naenda chap tu driving school hata within week ntakuwa tayari nshapata cheti
Hela ya driving school kwa sasa sina mkuuDriving school ni Massa na unachagua mwenyewe.Waweza waambia Wawe wanakufubdisha masaa kadhaa jumamosi au jumapili hawana shida.Wako watu hufundishwa lunch time wengine wakitoka kazini,au chuoni nk
Magari ya driving school Yana bima za mwanafinzi hizo za nyumbani ukipata ajali na mwanafunzi bima hailipi hata uwe na bima comprehensive.Kama alikuwa aliendesha mwanafunzi hawalipi
Gari ni langu au lake........?.....
Huwezi kujua kuendesha gari driving school, kule unaenda kuchukua cheti tu.Na mimi niongezee hapo kwa mtoa mada.itamchukua muda gani ili aweze kuendesha vizuri Gari kama ataenda Driving School?.