Kankra
JF-Expert Member
- Dec 23, 2015
- 203
- 140
Kama heading inavojieleza, mwenza wangu alianza Mp tarehe 20/11/2017 alfajiri sasa nahitaji nizae mtoto wa kiume.
Kiufupi tangu atoke mp natumia kondom kama contraceptive method. Wataalam nishaurini siku nzuri ya kupata mtoto huyo,Leo ni siku ya 13 tangu atoke mp.
Natanguliza shukrani...
Kiufupi tangu atoke mp natumia kondom kama contraceptive method. Wataalam nishaurini siku nzuri ya kupata mtoto huyo,Leo ni siku ya 13 tangu atoke mp.
Natanguliza shukrani...