Merchante
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,292
- 2,679
Habari zenu ndugu zangu,
Natumaini mko salama kabisa na kwa wale wenye changamoto mbalimbali za kimaisha msikate tamaa kwani siku njema zi karibu.
Nijikite katika mada husika, ni mimi kijana wenu Merchante nimerudi tena hapa jukwaani.
Lengo kuu ni kuomba kusaidiwa & kupewa njia/namna ya kutoka katika nchi hii na ikiwezekana nje kabisa ya hili bara ili nikajipatie riziki yangu.
Nimepambana sana katika hii nchi, ni mikoa mitatu tu ambayo sijawahi kwenda kutafuta riziki ila bado najiona kabisa sifikii malengo yangu, huenda fungu langu la kupata liko huko hivyo acha nilifuate.
Hivyo basi, ninatamani na ninahitaji sana kwenda kutafuta nje ya hii nchi, niko na nia thabiti na moyo mkunjufu katika hili. So yeyote yule ambae anaweza kunipa A-Z za kufika nchi za watu huko namkaribisha kuchangia au hata PM.
Sichagui kazi, ila tu iwe kazi halali.
Natumaini mko salama kabisa na kwa wale wenye changamoto mbalimbali za kimaisha msikate tamaa kwani siku njema zi karibu.
Nijikite katika mada husika, ni mimi kijana wenu Merchante nimerudi tena hapa jukwaani.
Lengo kuu ni kuomba kusaidiwa & kupewa njia/namna ya kutoka katika nchi hii na ikiwezekana nje kabisa ya hili bara ili nikajipatie riziki yangu.
Nimepambana sana katika hii nchi, ni mikoa mitatu tu ambayo sijawahi kwenda kutafuta riziki ila bado najiona kabisa sifikii malengo yangu, huenda fungu langu la kupata liko huko hivyo acha nilifuate.
Hivyo basi, ninatamani na ninahitaji sana kwenda kutafuta nje ya hii nchi, niko na nia thabiti na moyo mkunjufu katika hili. So yeyote yule ambae anaweza kunipa A-Z za kufika nchi za watu huko namkaribisha kuchangia au hata PM.
Sichagui kazi, ila tu iwe kazi halali.