sawa mkuu hapo nimekuelewa ila motherboard yangu si yakizaman sema ty ina mfumo huoHio ni issue ya motherboard, mpaka ubadili motherboard ndio utaweza ongeza lane. Processor yoyote ya 64bit haina shida kuhandle slot 4 ama zaidi za Ram, unless processor yako ni ya kizamani sana enzi za 32bit.
Pia ram za 4gb ni rahisi sana around 30,000 hv mpaka 40,000 unaweza ukauza 2gb 2 na kununua 4gb moja.
Ndio motherboard inaweza isiwe ya kizamani ila ikawa ya bei rahisi na kuwekwa slot 2 badala ya 4 ama zaidi.sawa mkuu hapo nimekuelewa ila motherboard yangu si yakizaman sema ty ina mfumo huo
Hio ni issue ya motherboard, mpaka ubadili motherboard ndio utaweza ongeza lane. Processor yoyote ya 64bit haina shida kuhandle slot 4 ama zaidi za Ram, unless processor yako ni ya kizamani sana enzi za 32bit.
Pia ram za 4gb ni rahisi sana around 30,000 hv mpaka 40,000 unaweza ukauza 2gb 2 na kununua 4gb moja.
Mkuu kuwa makini sana kununua vitu vya desktop Aliexpress, hio ni laptop bila kioo, zinatafutwa zile laptop mbovu mbovu inachukuliwa mobo yake inawekwa kwenye case kama hivyo na kuuzwa kama desktop.Chief hii maahine hapa unaionaje binafsi imenivutia
https://m.aliexpress.com/item/4001232188050.html?spm=a2g0n.detail.0.0.14721bf8JBUC29&gps-id=storeRecommendH5&scm=1007.18500.139671.0&scm_id=1007.18500.139671.0&scm-url=1007.18500.139671.0&pvid=80379604-8084-47c0-bdf9-b108cabb0b67&_t=gps-id:storeRecommendH5,scm-url:1007.18500.139671.0,pvid:80379604-8084-47c0-bdf9-b108cabb0b67,tpp_buckets:668#0#131923#58_668#808#3772#996_668#888#3325#14_668#2846#8113#667_668#2717#7566#816_&browser_id=a247bc6b41294fbda35144c4cb4b79d3&aff_trace_key=ff22f124f8e74979b064d578620d50c9-1594630430545-09667-UneMJZVf&aff_platform=msite&m_page_id=hpgqfr3qzhqcask7173488ca86521c73da52b4d6f9&gclid=&_imgsrc_=ae01.alicdn.com/kf/Hb405180f23734423b894ad25e73b50b1Y.jpg_640x640Q90.jpg_.webp
View attachment 1505652View attachment 1505654View attachment 1505655
Game zinapitia kwenye gpu, kama ina PcieX16 inamaana ina bandwidth ya kutosha kurun hio Gpu,swali mkuu motherbord za slot 2 inaweza kuwa na nguvu maana nafanya upgrade kwajir ya game
asnnte sana mkuu nimeona pia ina slot ya gpuGame zinapitia kwenye gpu, kama ina PcieX16 inamaana ina bandwidth ya kutosha kurun hio Gpu,
Itatumika Ram kama unatumia Gpu ya ndani, na Gpu almost zote za Ndani ni dual chanell hivyo slot 2 zinatosha, hakikisha tu speed za ram zote 2 zinafanana, kama ram moja ipo slow itamfanya mwenzake nae awe slow vile vile.