womanhood
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 609
- 881
Wakuu nilikuwa na mkopo Benki ya NMB sasa nataka kulipa deni lote lililobaki.
Ila nimekuwa nikizungushwa sana, hii wiki ya pili hawataki kunipa barua kuonesha deni lililobaki, wanasema bado Makao Makuu hawajawatumia hiyo taarifa
Hivyo, naomba kwa anaejua anisaidie nifanyeje ili nipate hiyo barua au niende wapi wanisaidie, maana wanakwamisha mambo yangu ya msingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nimekuwa nikizungushwa sana, hii wiki ya pili hawataki kunipa barua kuonesha deni lililobaki, wanasema bado Makao Makuu hawajawatumia hiyo taarifa
Hivyo, naomba kwa anaejua anisaidie nifanyeje ili nipate hiyo barua au niende wapi wanisaidie, maana wanakwamisha mambo yangu ya msingi.
Sent using Jamii Forums mobile app