Msaada: Nahitaji kujua wapi nitapata daktari wa kutibu matege kwa watoto

ngutu

Senior Member
Jul 21, 2016
101
67
Wakuu poleni na majukumu,naombeni msaada wenu ni wapi nitapata daktari kwa ajili ya matibabu kwa mtoto wa mwaka mmoja na nusu anaonekana kuwa na matege ..Pia nimewahi kumpeleka ccbrt niksambiwa nimrudishe akifika miaka miwili hawakumpatia tiba yoyote..nitashukuru kwa msaada wenu na Mungu awabariki.
Nawakilisha
 
Mkuu inategemea na source ya hiyo kitu,wengine ni kwa kukosa vitamin d,Hivyo huwa wanashauri ,wengine inakua ni Instability tu ya Magoti hivyo kupelekea hyper extension ya knees,Yawezekana Severity ya hilo tatizo la Mtoto wako si kubwa sana na hivyo itajiresolve kadiri mtoto atakavyozidi kukua ila cha kuzingatia ni diet yenye wingi wa vitamin d na Calcium,Exposure ya watoto pia katika jua linalochomoza asubuhi lina reach of vit d,As well as unaweza kusaga dagaa na kuchanganya katika unga wa uji,mchuzi wa samaki,maziwa etc zina Calcium kwa ajili ya kuimarisha Mifupa,Local techniques wakati mwingine zinatumika kama kucorrect with serial castings au Operation (osteotomy) inaweza kufanyika ila kama hilo tatizo limekuwa severe na umri unaruhusu.
 
Mkuu kama kwenu hakuna matege usiogope, kadri anavyokuwa yatapotea.Nilikuwa na Mdogo wangu mtoto wa Baba Mdogo ilikuwa balaa.Yaani yalipinda utadhani ni zero kabisa, ila saiv ukimuona huwezi amini, halafu tall
 
Mkuu inategemea na source ya hiyo kitu,wengine ni kwa kukosa vitamin d,Hivyo huwa wanashauri ,wengine inakua ni Instability tu ya Magoti hivyo kupelekea hyper extension ya knees,Yawezekana Severity ya hilo tatizo la Mtoto wako si kubwa sana na hivyo itajiresolve kadiri mtoto atakavyozidi kukua ila cha kuzingatia ni diet yenye wingi wa vitamin d na Calcium,Exposure ya watoto pia katika jua linalochomoza asubuhi lina reach of vit d,As well as unaweza kusaga dagaa na kuchanganya katika unga wa uji,mchuzi wa samaki,maziwa etc zina Calcium kwa ajili ya kuimarisha Mifupa,Local techniques wakati mwingine zinatumika kama kucorrect with serial castings au Operation (osteotomy) inaweza kufanyika ila kama hilo tatizo limekuwa severe na umri unaruhusu.
Asante mkuu
 
Poapoa mkuu
Komaa vizuri na dagaa serious utashangaa. alikuwa hovyo kabisa leo huwezi yaona hayo matege. Dagaa mkuu
IMG_20170118_143328.jpeg
 
Back
Top Bottom