Usiogope kadri anavyokuwa yatapotea cha muhimu chakula kizuri chenye vitamini d samaki dagaa nk yatapotea amna dr wakutibu matege yataisha yenyeweWakuu poleni na majukumu,naombeni msaada wenu ni wapi nitapata daktari kwa ajili ya matibabu kwa mtoto wa mwaka mmoja na nusu anaonekana kuwa na matege ..Pia nimewahi kumpeleka ccbrt niksambiwa nimrudishe akifika miaka miwili hawakumpatia tiba yoyote..nitashukuru kwa msaada wenu na Mungu awabariki.
Nawakilisha
Sawasawa mkuuKomaa vizuri na dagaa serious utashangaa. alikuwa hovyo kabisa leo huwezi yaona hayo matege. Dagaa mkuuView attachment 461245
Asante kwa ushauri mkuuMkuu usipate presha we subiri kama ulivyoshauriwa na ccbrt hao jamaa nawakubari sana Mimi mtoto wangu wakati anajifunza kutembea alionesha dalili ya kutokuganyaga kisigino yaana mguu mmoja anakanyaga fresh lakini wa kulia akawa anakanyagia vidole mshipa mkubwa ulikuwa haukunjiki nikaambiwa nisihofu nimuache hadi akitimiza 2yrs. Kwasasa hana shida yoyote na sikurudi yaani ulijirekebisha wenyewe pia now Nina shemeji yangu anamtoto wa tatizo kama la mtoto wako naye ameambiwa asubiri afikishe 2yrs.
Nakushauri usihangaike hangaike utapoteza pesa bure we fuata ushauri wa ccbrt tatizo watalitatua.
Karibu mkuuAsante kwa ushauri mkuu
Sawa sawa mkuu,asante kwa ushauriNamfahamu bwana mmoja alimfanyia binti yake akiwa mdogo upasuaji mbalimbali kwa ajili ya matege;
lakini kadri alivyokuwa anakua ndivyo miguu ilizidi kuharibika.
Matege siyo ugonjwa, endelea kumpa vyakula stahili na navyokuwa miguu itanyooka tu;
Usije ukamharibu mtoto na huko kutoelewa kwenu.
ndo iliyosababisha ila yataisha vumiliaNdio alitumia
tulishaongea ubaya wa hizo baby walker humu kwanini mlimnunulia? acheni kuiga mkuu ona madhara sasaSawa mkuu
Nime ku PMAsante mkuu..unaweza kuniunganisha nae
Ilikuwaje ikawa hivyoMkuu kama kwenu hakuna matege usiogope, kadri anavyokuwa yatapotea.Nilikuwa na Mdogo wangu mtoto wa Baba Mdogo ilikuwa balaa.Yaani yalipinda utadhani ni zero kabisa, ila saiv ukimuona huwezi amini, halafu tall