kituli one
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 408
- 301
Wana JF,
Kesho naingia kwa mara ya kwanza Dar nikitoka Mawemilu Shinyanga Vijijini, sasa naomba msaada wa kuelekezwa wizara ya afya ilipo maana ndo nina shida huko, natanguliza shukurani zangu.
========
Kesho naingia kwa mara ya kwanza Dar nikitoka Mawemilu Shinyanga Vijijini, sasa naomba msaada wa kuelekezwa wizara ya afya ilipo maana ndo nina shida huko, natanguliza shukurani zangu.
========
Waungwana nashukuru sana nimefika hapa wizarani,na mambo yangu ndo nayashughulikia hivyo...baadae kidogo nitaanza utalii wa ndani hapa daslam na kutumia mahela yangu niliyouza ng'ombe