Dorry Winnie
New Member
- Jun 3, 2021
- 2
- 0
Wapendwa samahani nahitaji msaada nimejenga nyumba yenye ukubwa wa sqr Urefu555 Upana 800.
Nahitaji kupaua naomba msaada wa Fundi je nitatumia mbao ngapi na bati ngapi maana nimepeleka mafundi tofauti Kila mmoja anetoa hesabu zake.
Wa kwanza alisema mbao 150 na bati 70.
Wa pili amesema mbao 300 na bati 93 sielewi jamani.
Nahitaji kupaua naomba msaada wa Fundi je nitatumia mbao ngapi na bati ngapi maana nimepeleka mafundi tofauti Kila mmoja anetoa hesabu zake.
Wa kwanza alisema mbao 150 na bati 70.
Wa pili amesema mbao 300 na bati 93 sielewi jamani.