Msaada nahitaji dawa ya stress

D Metakelfin

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
3,160
3,258
Habari wakuu
Nahitaji dawa ya stress haraka sana mnitajie inaitwaje na gharama yake
Please

========================================
 
Watafute watu wako wa karibu unaoamini wanakupenda wanakuthamini wanakujali, share nao kilichokusababishia stress...watakushauri

Na unaweza kuopt kuwa karibu nao zaidi kipindi cha stress utapata ahueni

Njia hii imenisaidia binafsi mara nyingi
 
Hakuna kitu kama hicho!!!
Kuna dawa za matokeo ya unmanaged stress...
Kama haujaathirika, solution ni kupata usingizi mzuri (atleast saa tano), ule vizuri na ufayev mazoezi angalau dakika 30 kwa siku.
 
Dawa ya stress ambayo ni temporary ni kufanya mazoezi kwa dk 30. Kama huna mudi ya zoezi chukua nanasi kipande, papai, limao, na chungwa brend pata smoothie na kunywa usiweke maji ila kidogo ya kusaidia kuzungusha brenda,.. Itakusaidia. Dawa ya stress ya permanent ni kufaham kuwa kila kitu ulicho kuwa nacho na usicho kuwa nacho ni mali ya mungu akitaka anakupa akitaka anachukua.. Iwe mali iwe watoto.. Na pia kujua kuwa kila kitu kina expire date yake iwe furaha iwe huzuni... Muhimu ni kuwa na subira na kukipa kitu muda.... Ukifaham hilo utakuwa mtu wa furaha milele kama mimi... Mfano mpenzi wako akikuacha utahuzunika kwa muda ila utajua hiyo ndo expire date yake na utasonga mbele.
 
Hello Friends, I'm here to show you how can you understanding and managing stress.

Stress is not a problem.

Counselor Pr Dennis Barrow


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom