guzman_
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,254
- 2,060
Natumai mko poa
Mtakumbuka uzi wangu huu
Mvomero: Upatikananaji wa Ardhi na Mazao yanayostawi - JamiiForums
Wengi mlinishauri niende pale Halmashauri ya Mvomero. Nilifanya hivyo ila cha ajabu walisema wanaekari 30 tu kwa sasa na nikamwachia Afisa Kilimo anitafutie kwa Wananchi ila matumaini ya kupata ni madogo sana.
Sasa nimeamua kutafuta kwa mkoa wote wa Morogoro sio Mvomero tu. Yeyote anayejua sehemu naweza pata ardhi safi ya kulima kwa tractor (sio milima) kuanzia ekari 100 za kuanzia ndugu zangu. Japo nahitaji kama ekari 200-300
Nawasilisha
Mtakumbuka uzi wangu huu
Mvomero: Upatikananaji wa Ardhi na Mazao yanayostawi - JamiiForums
Wengi mlinishauri niende pale Halmashauri ya Mvomero. Nilifanya hivyo ila cha ajabu walisema wanaekari 30 tu kwa sasa na nikamwachia Afisa Kilimo anitafutie kwa Wananchi ila matumaini ya kupata ni madogo sana.
Sasa nimeamua kutafuta kwa mkoa wote wa Morogoro sio Mvomero tu. Yeyote anayejua sehemu naweza pata ardhi safi ya kulima kwa tractor (sio milima) kuanzia ekari 100 za kuanzia ndugu zangu. Japo nahitaji kama ekari 200-300
Nawasilisha