Saoka
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 405
- 565
Moja kwa moja kwenye mada.
Juzi nilienda kituo cha afya na kucheki afya nikakutwa nina Typhoid. Sasa nimeanza kutumia dozi za Typhoid (Cepro) siku ya 3 hii.
Ila wataalamu ni kwamba yaani najisikia nafuu ila naanza kutokewa na kama homa tena.
Je hapo tatizo nini japo nipo sawa na naendelea vizuri na pia dozi naendelea nazo?
Juzi nilienda kituo cha afya na kucheki afya nikakutwa nina Typhoid. Sasa nimeanza kutumia dozi za Typhoid (Cepro) siku ya 3 hii.
Ila wataalamu ni kwamba yaani najisikia nafuu ila naanza kutokewa na kama homa tena.
Je hapo tatizo nini japo nipo sawa na naendelea vizuri na pia dozi naendelea nazo?