misorgenes
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 206
- 50
Naombeni msaada wenu ndugu zangu. kuna nafasi za kazi zilitangazwa Morena hotel mwezi march 2015, mimi pia niliomba sasa kutokana na kukaa kimya kwa muda mrefu mi nlijua watu wameishaitwa na wapo kazini. sasa leo Mungu si Athuman nimepigiwa simu kuwa nifike kwenye interview kesho. na mimi details zote za kazi ile nilishapotezea, naomba aliekuwa amelitunza tangazo lile anitumie job description za accountant. please please najua kuna aliekua ameomba kama mimi.