Msaada; Naendekeza sana ngono, Je hii ina madhara yoyote kwa afya yangu?

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,351
Hello guys poleni kwa mihangaiko,
Mimi ni kijana 25 years na kwa hii hali maisha yangu binafsi nimeona niwaombe ushauri wakubwa zangu na wenye experience kuhusu haya maisha ninayoishi.

Ipo hivi, Nikimaliza shughuli zangu jioni kinachofuata ni kwenda kwangu kupumzika, katika mapumziko yangu sex imekuwa basic need na huwa sisahau kujilinda,

Hio ni jioni na aliyekuja muda huo hawezi kuondoka hadi kesho maana kabla hatujalala kuna game na ikiwa ni siku ambazo ni weekend kabla ya yeye kuondoka asubuhi namalizia game la mwisho which means kwa siku nagegeda mara tatu kwa siku kama ilivyo kwa ratiba ya kula chakula.

Kwenye swala la mazoezi nimekuwa mvivu sana je hii inaweza kuni-affect?
 
Kufanya mapenz mara kwa mara usababisha upungufu wa nguvu za kiume kama hufanyi mazoez , hauli vizuri , na haupat mda wa kupumzka mm nakushauli acha hiyo hali tafuta msichana mmoja jitambulishe kwenu na kwao kisha Fanya utalatibu wa ndoa
 
Mkuu Pangilia muda wako upate japo saa Moja la mazoezi, kula vzr, matunda na mboga za majani kwa sana. usisahau maji mengi.
 
Hello guys poleni kwa mihangaiko,
Mimi ni kijana 25 years na kwa hii hali maisha yangu binafsi nimeona niwaombe ushauri wakubwa zangu na wenye experience kuhusu haya maisha ninayoishi.

Ipo hivi, Nikimaliza shughuli zangu jioni kinachofuata ni kwenda kwangu kupumzika, katika mapumziko yangu sex imekuwa basic need na huwa sisahau kujilinda,

Hio ni jioni na aliyekuja muda huo hawezi kuondoka hadi kesho maana kabla hatujalala kuna game na ikiwa ni siku ambazo ni weekend kabla ya yeye kuondoka asubuhi namalizia game la mwisho which means kwa siku nagegeda mara tatu kwa siku kama ilivyo kwa ratiba ya kula chakula.

Kwenye swala la mazoezi nimekuwa mvivu sana je hii inaweza kuni-affect?
Endelea kuchovya chovya iko siku utakutani na visivyo chovyeka utafurahishwa na ndo utajua mazara ya kuchovya chovya
 
Too much is harmful,ndicho ninachokijua. Lakini hiyo si ni sio penseli kwamba unavyoichonga inaisha. Subiri wanaume wenzio wakusaidie..
 
vijan wa karne hii cjui mnawaz nn kweny vichwa vyenu okay msalimie shemeji ako
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom