OK Nashukuru Mkuu kwa ushauri wakoKwanza check kama chuo chako kwa kipindi ulicho soma kinatambulika na NACTE
Kama kilikuwa kinatambulika nenda chuoni uhakiki taarifa zako kama zipo
Chuo kikuhakikishie kama wamepeleka taarifa zako NACTE vinginevyo wakueleze kwa nini hawakuzipeleka.
Kama walipeleka basi wawasiliane na NACTE kuhusu hilo na wewe uwe unapata nakala.
Ukikwama basi polisi itamhusu mhusika Chuo kama hawakupeleka au NACTE kama wamepoteza.