Msaada na ushauri pia

Uswiss

JF-Expert Member
Oct 15, 2016
842
2,160
Mimi ni kijana wa miaka 25 nipo Dar es salaam natafuta kazi yoyote ya kuniingizia kipato elimu yangu nina Diploma ya Computer Science pia nilisoma Degree ya Computer Science lakini niliishia njiani kutokana na changamoto mbalimbali.

Nina uwezo kufanya kazi yoyote ile mkoa wowote na nchi yoyote duniani. Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom