Mwana-mpelwa
Member
- Jan 2, 2020
- 10
- 49
Kama tittle inavyojieleza naombeni mbinu za kujitoa kwenye chama la wana CHAPUTA, completely, nimejaribu mara kibao kutaka kurudisha kadi ila nashindwa kuna kipindi hapo kati nimekaa mpaka about six months, ila nimejikuta nashawishika kupractice tena.
Please niko serious naomba mawazo ya kujenga, ili niache zoea hili baya coz ni about more than 6 years now Niko CHAPUTA.
PLEASE HELP!!!!
Aksanteni
Please niko serious naomba mawazo ya kujenga, ili niache zoea hili baya coz ni about more than 6 years now Niko CHAPUTA.
PLEASE HELP!!!!
Aksanteni