Ahadi ni deniUwe umefaulu hasa somo la math
1..hesabu atleast CJamani habari ,naomba msaada ili MTU aende form five EGM comb anatakiwa awe na ufaulu upi msaada wenu kwa wale wazoefu.
wewe pata division 1&2 hizo 3 iwe kwa bahati mbaya tena ya mwanzoni..AIM HIGHERKwa mfano za serikali