Msaada na Ushauri: Ana divisheni 2 na amekosa Mzumbe na UDSM

NEMEZIZ

JF-Expert Member
May 23, 2017
563
335
Nimeleta kwenu wakuu wa jamvi.

Kuna rafiki yangu wa karibu na kama dada yangu tokea jana analia kabisa kakosa chuo, anacholalamika yeye anapoint 11 kapata div2 kamaliza Hkl lakina aliomba UDSM na Mzumbe kote kakosa.

Hali hii imepelekea kukosa hata hamu ya kujiendeleza kimasomo. Je tumsaidie nini huyu dada yetu japo nimemuelezea kuwa anafursa ya kuomba tena. Kwenu wakuu wa jamvi
 
Nimeleta kwenu wakuu wa jamvi.

Kuna rafiki yangu wa karibu na kama dada yangu tokea jana analia kabisa kakosa chuo, anacholalamika yeye anapoint 11 kapata div2 kamaliza Hkl lakina aliomba UDSM na Mzumbe kote kakosa.

Hali hii imepelekea kukosa hata hamu ya kujiendeleza kimasomo. Je tumsaidie nini huyu dada yetu japo nimemuelezea kuwa anafursa ya kuomba tena. Kwenu wakuu wa jamvi
Kinachomsumbua dada yako ni mentality yake tu.

Kwamba vyuo ni Mzumbe na UDSM tu.

Wakati kuna vyuo vingi tu anaweza pata na akasoma.

Mwambie aamke aache kulialia na kujiona ana mkosi.

Mwambie atafute vyuo hata vya private aombe tens mwisho ni tarehe kumi.
 
Mwambie aombe upya, course achague vizuri. Halafu asilalamike maana vyuo wamechukua watu wenye pointi za juu sana yaani.
 
Huko UDSM na Mzumbe aliomba course zipi? Na je hizo course zipo huko tu. Ajipime ufaulu wake aombe tena.
 
Vyuo vingi tu, akichagua program na vyuo kwa alama hizo atasubiri sana tu. Au hakumbuki takwimu kuna divis. 1 ngapi mwaka huu?
 
Kinachomsumbua dada yako ni mentality yake tu.

Kwamba vyuo ni Mzumbe na UDSM tu.

Wakati kuna vyuo vingi tu anaweza pata na akasoma.

Mwambie aamke aache kulialia na kujiona ana mkosi.

Mwambie atafute vyuo hata vya private aombe tens mwisho ni tarehe kumi.

Sawa Mkuu ngoja nimshauri hivi
 
Vyuo vingi tu, akichagua program na vyuo kwa alama hizo atasubiri sana tu. Au hakumbuki takwimu kuna divis. 1 ngapi mwaka huu?

Nadhani hakujua Mkuu ila hakuna tatizo muda bado siku zipo
 
Aombe tena .tumaini .sauti.makumira n.k.kwa ud kwa ufaulu huo course ambazo kama bachelor of kiswahili.history na nyingine type hizo kama zipo ndo anaweza pata.hazina competition kubwa
 
Kwanza hakukuwa na sababu y yeye kuchagua vyuo vyenye competition kubwa, ilhal anafahamu kabisa now days application zinafanyika manually na hata hiyo division 2 ya 11cyo kwamba kapasua kivilee, mm nimesoma mzumbe na nmemaliza pale, wala cjaona tofauti ya pale na vyuo vingine, jus a matter of concentration,
 
Kwanza hakukuwa na sababu y yeye kuchagua vyuo vyenye competition kubwa, ilhal anafahamu kabisa now days application zinafanyika manually na hata hiyo division 2 ya 11cyo kwamba kapasua kivilee, mm nimesoma mzumbe na nmemaliza pale, wala cjaona tofauti ya pale na vyuo vingine, jus a matter of concentration,

Sawa Mkuu
 
Aliiomba Ba ya Law kote mzumbe na Udsm Mkuu

Kwa ufaulu huo UDSM na Mzumbe si salama. Kuna vyuo vinatoa sheria na viko poa tu-St. Augustine, University of Iringa, Tumaini Makumira (Makumira na Dar) na vinginevyo anaweza akapata. Watoto wetu waangalie vyuo vingine.

Kwanza hakukuwa na sababu y yeye kuchagua vyuo vyenye competition kubwa, ilhal anafahamu kabisa now days application zinafanyika manually na hata hiyo division 2 ya 11cyo kwamba kapasua kivilee, mm nimesoma mzumbe na nmemaliza pale, wala cjaona tofauti ya pale na vyuo vingine, jus a matter of concentration,
 
Aliomba kozi gani? Aombe tens SAUT, chuo kumba limbs hakiachi MTU kama ana sifa. Wanachukua mpaka 700 kwenye kozi kama Public Relations and Marketing!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom