Unaruhusu kupokea kwa njia gani?Mfumo wa kifedha wa Tanzania hauruhusu kupokea fedha kwa mastercard/visa
Hivyo naamini haiwezekani kama jinsi ambavyo haiwezekani kupokea fedha kwa mastercard/visa ya benki yoyote nchini.
Nakubali kusahihishwa....
Unaweza kupokea pesa kwa wire transfer kwenye akaunti yako ya bank moja kwa moja.Unaruhusu kupokea kwa njia gani?
je kwakuunga nisha na paypal
Dah kwahiyo watu kama millard ayo wanapokeaje hela zao za YouTube mkuu.Hata kadi yako ya benki unaweza kuiunganisha na paypal na kufanya manunuzi (ambayo unaweza kuyafanya hata kwa kadi moja kwa moja bila kuwa na paypal katikati). Lakini hauwezi kupokea wala kudraw hela kuja kwenye kadi/mpesa yako in Tanzania.
Youtube fedha zinaingia kwenye Google Adsense account ambayo unaweza kutoa pesa zako kutoka kwenye adsense kwa kutumia Western Union.Dah kwahiyo watu kama millard ayo wanapokeaje hela zao za YouTube mkuu.