King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 2,795
- 5,264
Naona Staff wa TRA wa uku nilipo siwaelewi kabisa,wanafanya mambo yawe magumu...
Mwaka 2017 nikiwa Dar es salaam nilipata TIN namba lakini ilikuwa si kwa ajiri ya biashara (non business use),niliipata nkiwa ktk harakati za mafunzo ya udereva.
Kwa sasa nipo mkoa wa nyanda za juu uku ktk harakati za kutafuta maisha,nimeenda TRA wanibadilishie hii TIN namba yangu isome special kwa ajiri ya biashara....lakini nasikitika napewa story za kurudi tena dar Kwenye ofisi nilipopatia hii TIN namba Ili wafanye transfer isome mkoa niliopo sasa,na ndo zoezi la kubadili kwenda Kwenye matumizi ya kibiasha lifanyike...
Nikawaambia basi isiwe case,mnitengenezee TIN mpya wanasema haiwezekana kwasababu tayari una namba ya TIN.
Msaada kama kuna mtu anaufahamu kuhusu hili issue.
Mwaka 2017 nikiwa Dar es salaam nilipata TIN namba lakini ilikuwa si kwa ajiri ya biashara (non business use),niliipata nkiwa ktk harakati za mafunzo ya udereva.
Kwa sasa nipo mkoa wa nyanda za juu uku ktk harakati za kutafuta maisha,nimeenda TRA wanibadilishie hii TIN namba yangu isome special kwa ajiri ya biashara....lakini nasikitika napewa story za kurudi tena dar Kwenye ofisi nilipopatia hii TIN namba Ili wafanye transfer isome mkoa niliopo sasa,na ndo zoezi la kubadili kwenda Kwenye matumizi ya kibiasha lifanyike...
Nikawaambia basi isiwe case,mnitengenezee TIN mpya wanasema haiwezekana kwasababu tayari una namba ya TIN.
Msaada kama kuna mtu anaufahamu kuhusu hili issue.