MSHINO JF-Expert Member Jul 26, 2013 1,067 709 Dec 12, 2013 #1 Habari wapendwa mwenye waraka wa Per-Diem watumishi wa serikali anisaidie. askanteni sana.
L Lyandembela1 JF-Expert Member May 10, 2013 277 112 Dec 12, 2013 #2 Ni siri hauwezi ukawekwa hapa au kwenye vyombo vya habari.