politicians
Senior Member
- Apr 8, 2018
- 154
- 124
Habari wadau!,
Ningependa kupata ushauri kidogo,Kuna mzigo nataka niagize kutoka Alibaba. Ningependa kujua utaratibu ukoje. Hapa Bongo Mzigo unapofika kwenye upande wa Kodi?,n.k,je Kama mzigo.
Wenyewe ni wa matumizi binafsi ya Nyumbani na wenyewe natskiwa nilipie Kodi? Wazoefu Tafadhali tupeane ushauri
Ningependa kupata ushauri kidogo,Kuna mzigo nataka niagize kutoka Alibaba. Ningependa kujua utaratibu ukoje. Hapa Bongo Mzigo unapofika kwenye upande wa Kodi?,n.k,je Kama mzigo.
Wenyewe ni wa matumizi binafsi ya Nyumbani na wenyewe natskiwa nilipie Kodi? Wazoefu Tafadhali tupeane ushauri