Ni around 250,000/= one way!! Ni vema ukasearch mwenyewe hata google kwa uhakika zaidi maana nauli za ndege huwa sio fixed kama za mabasi, zinavary kutokana na factors nyingi mfano: msimu, lini umefanya booking, aina ya ndege n.k.(japo nyingi za Dodoma ni ndege ndogo.
We ingia kwenye website ya shirika la ndege husika...fanya kama wafanya booking utaona maana wkt mwingine inategemeana na mengi ikiwamo muda lakini na aina ya seat unayokata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.