saidi yakoub
Member
- Nov 1, 2015
- 21
- 22
Mimi nauliza tatizo la mwanaume kuanzia miaka 20 na kuendelea kuwa na maziwa linasababishwa na nini na jee tiba yake ni ipi ili yaondoke hayo matiti
Doctor shikamoo naona umemaliza yote kabisaNaweza sema hiyo hali ni hormonal disorder,inasababishwa na kuongezeka uzalishwaji wa hormone ya oestrogen na upunguaji wa hormone ya androgen(hii inahisiana zaidi na kukupa tabia za kiume),oestrogen inapozaliswa nyingi kuliko androgen ndio hiyo hali inatokea.
Wakati meingine huwa inasababishwa na baadhi ya madawa kama hizi za HIV,magonjwa etc
Matibabu surgery inaweza fanyika,cha muhimu kama unamgonjwa mpeleke hospitali afanyiwe vipimo ijulikane chanzo cha hiyo shida yake then afanyiwe tiba kulingana na tatizo lake.
Jee ndugu hiyo upasuaji wake wanafanya hospitali zipi kwa hapa tanzania na gharama yake ni shilingi ngapi?Naweza sema hiyo hali ni hormonal disorder,inasababishwa na kuongezeka uzalishwaji wa hormone ya oestrogen na upunguaji wa hormone ya androgen(hii inahisiana zaidi na kukupa tabia za kiume),oestrogen inapozaliswa nyingi kuliko androgen ndio hiyo hali inatokea.
Wakati meingine huwa inasababishwa na baadhi ya madawa kama hizi za HIV,magonjwa etc
Matibabu surgery inaweza fanyika,cha muhimu kama unamgonjwa mpeleke hospitali afanyiwe vipimo ijulikane chanzo cha hiyo shida yake then afanyiwe tiba kulingana na tatizo lake.
Vichwa kama hivi vinavyomwaga madini, ndo vichwa vya kuweka ndani.Naweza sema hiyo hali ni hormonal disorder,inasababishwa na kuongezeka uzalishwaji wa hormone ya oestrogen na upunguaji wa hormone ya androgen(hii inahisiana zaidi na kukupa tabia za kiume),oestrogen inapozaliswa nyingi kuliko androgen ndio hiyo hali inatokea.
Wakati meingine huwa inasababishwa na baadhi ya madawa kama hizi za HIV,magonjwa etc
Matibabu surgery inaweza fanyika,cha muhimu kama unamgonjwa mpeleke hospitali afanyiwe vipimo ijulikane chanzo cha hiyo shida yake then afanyiwe tiba kulingana na tatizo lake.
Kuna my nilisoma nae alikua na tatizo Kama hilo na Alitibiwa bugando akapona kabisaWanaita gynecomastia, tiba kubwa ni operesheni ya kuondoa mafuta kwenye chuchu ila kwa bongo cna uhakika kama wanafanya
Inategemea najua Hapa selian hospital Arusha wanafanya hiyo operation kwa hela cash kama hauna bila ni kama milioni moja na laki tatu lakini kama unatumia bima gharama zote zitabebwa na bimaJee ndugu hiyo upasuaji wake wanafanya hospitali zipi kwa hapa tanzania na gharama yake ni shilingi ngapi?