BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,059
- 2,104
Mwalimu upo vizuri sana mimi mwanangu mazingira tuliyopo sio ya kuichanganya ili kuweza kufikia mawazo yako Nazani daycare itambadilishaSio dalili mbaya kama anaweza sema aaah eee.....ni improvements kubwa sana....sehemu yangu ya kazi watoto wengi hadi 4 years huwa wanakuja wanashindwa kuongea, wazazi huwa wanaleta majibu ya madaktari kisha sisi huwa tunawabadilishia lugha kutoka kiswahili kwenda kiingereza
Baada ya muda huwa wapo vizuri sana, pia mtoto akae mazingira yanayomruhusu kujifunza lugha kwa kusikia both sauti na milio, awe anasikia maneno mengi na sauti nyingi kwa siku zile ndizo zinamsaada katika kujifunza lugha....i mean mchanganye na mazingira ya waongeaji na watoto wenzie wanaocheza na kutamka maneno mengi ile inastimulate ubongo wake na mdomo kukaza mwisho ataweza kuanza kutamka.....
NB: nimetumia taaluma ya elimu ya cambridge na maelekezo yake kwaujumla, mimi sio daktari ni mwalimu.