M mamitber Member Jul 4, 2016 28 4 Jul 23, 2016 #1 Ushauri tafadhali, Mwanamke kutokwa na damu tumbo kuuma wakati ana mimba ya miezi miwili ni dalili ya mimba kutoka au jambo la kawaida? Nini kinasabisha na solution ni nini? Naombeni majibu sahihi tena ya kusaidia
Ushauri tafadhali, Mwanamke kutokwa na damu tumbo kuuma wakati ana mimba ya miezi miwili ni dalili ya mimba kutoka au jambo la kawaida? Nini kinasabisha na solution ni nini? Naombeni majibu sahihi tena ya kusaidia
S syakuswighisya Member Dec 29, 2015 37 22 Jul 23, 2016 #2 Awahi fasta hospitalini ni dalili ya mimba kutaka kuharibika... Ama imeshaanza kuharibika taratibu hospitalin watampa jibu kamili
Awahi fasta hospitalini ni dalili ya mimba kutaka kuharibika... Ama imeshaanza kuharibika taratibu hospitalin watampa jibu kamili
jiwe angavu JF-Expert Member Aug 28, 2015 19,091 35,897 Jul 23, 2016 #3 dah..wahi hospitali ndugu hiyo sio dalili nzuri...