worldboss
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,229
- 2,291
Habari
Ndugu zangu naombeni msaada wenu juzi nilichepuka na mke wa mtu ndugu zangu sasa kinachonitia hofu ni hii hali ya kuwashwa makalioni.
Hii hali inanitesa na hii leo siku ya pili nimenunua mpaka sabuni ya dettol lakini bado muwasho ni mkali sana.
Nimeanza kupata mashaka kuwa yule mwanamke aliwekewa tego au uchawi maana hali hii imeanza kunipata baada tu ya kula tunda.
Nisaidie ndugu zangu, naogopa sana wife akishtukia mchezo.
Sasa hapa najiuliza nikamuombe msamaha jamaa au nifanyeje ili hali hii iishe NATESEKA SANA JAMANI
Ndugu zangu naombeni msaada wenu juzi nilichepuka na mke wa mtu ndugu zangu sasa kinachonitia hofu ni hii hali ya kuwashwa makalioni.
Hii hali inanitesa na hii leo siku ya pili nimenunua mpaka sabuni ya dettol lakini bado muwasho ni mkali sana.
Nimeanza kupata mashaka kuwa yule mwanamke aliwekewa tego au uchawi maana hali hii imeanza kunipata baada tu ya kula tunda.
Nisaidie ndugu zangu, naogopa sana wife akishtukia mchezo.
Sasa hapa najiuliza nikamuombe msamaha jamaa au nifanyeje ili hali hii iishe NATESEKA SANA JAMANI