good96
JF-Expert Member
- Nov 20, 2015
- 518
- 537
Wakuu habari naomba niweze kufahamishwa huu muungurumo unasababiswa na tatizo gani. Ni ki fridge kidogo cha Mr UK na huwa linawaka na kuzima automatic lakini siku za karibuni lilipata shida ya kutokupooza nikapeleka kwa fundi akaniambia ni gesi imeisha akajaza gesi na tangu hapo ukiliwasha linawaka vizuri shida inakuja muda wa kujizima automatic linapiga kelele kama mashine inagonga kitu na halikati mpaka uchomoe waya kwenye umeme. Tafadhali mwenye ujuzi naomba anifahamishe. Naambatanisha ya video fupi.
Asanteni sana.
Asanteni sana.