CalvinD
JF-Expert Member
- Feb 5, 2016
- 243
- 347
Wakuu naandika huu uzi nikiwa na majonzi makubwa sana, naomba niende moja kwa moja kwenye mada
mwezi wa 8 tarehe 15 mke wangu alijifungua kwa shida sana katika hospitali ya serikali kwa njia ya mkasi, kutokana na uzembe wa madaktari kuchelewa kumfanyia operation kwa haraka, mtoto alimeza maji mengi akazaliwa akiwa ame acore below average(wale wenye uzoefu wanaelewa).mtoto akawekwa ICU kwa muda wa wiki moja baadae wakamruhusu atoke hospital.
Kinachoniuma zaidi ni kwamba mtoto amepata athari kwenye ubongo wake hali itakayopelekea kupata matatizo katika makuzi yake , siku nne zilizopita mtoto alikua analia sana usiku tukaenda hospital ya private kufanya check up.
Dokta akatuambia mtoto aliruhusiwa mapema kutoka kabla ya kufanyiwa uchunguzi wa kina
Wakuu roho inaniuma sana nikifikiria mtoto wangu anaweza kupata ulemavu kutokana na uzembe wa madaktari wetu, naombeni ushauri wakuu kama kuna njia yoyote ya kumnusuru mwanangu kutokana na haya majanga.
Niko tayari kusikiliza ushauri wenu.
mwezi wa 8 tarehe 15 mke wangu alijifungua kwa shida sana katika hospitali ya serikali kwa njia ya mkasi, kutokana na uzembe wa madaktari kuchelewa kumfanyia operation kwa haraka, mtoto alimeza maji mengi akazaliwa akiwa ame acore below average(wale wenye uzoefu wanaelewa).mtoto akawekwa ICU kwa muda wa wiki moja baadae wakamruhusu atoke hospital.
Kinachoniuma zaidi ni kwamba mtoto amepata athari kwenye ubongo wake hali itakayopelekea kupata matatizo katika makuzi yake , siku nne zilizopita mtoto alikua analia sana usiku tukaenda hospital ya private kufanya check up.
Dokta akatuambia mtoto aliruhusiwa mapema kutoka kabla ya kufanyiwa uchunguzi wa kina
Wakuu roho inaniuma sana nikifikiria mtoto wangu anaweza kupata ulemavu kutokana na uzembe wa madaktari wetu, naombeni ushauri wakuu kama kuna njia yoyote ya kumnusuru mwanangu kutokana na haya majanga.
Niko tayari kusikiliza ushauri wenu.