Msaada,mtoto wa siku tano kushindwa kunyonya kwa zaidi ya masaa 10

PAZIA 3

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
1,074
1,855
Tumeenda dispensary,tumepewa dawa imeandikwa SHETRIM nje ya box,ametumia tangu saa 9 lakini bado mtoto hanyonyi,ushauri wenu tafadhari
======
Mtoto tulimpeleka hospital tena,akagundulika kuwa na homa ya manjano,mpaka sasa anaendelea na tiba japo kunyonya hawezi mpaka akamuliwe maziwa, kidogo inatia matumaini maana jana alikuwa hawezi fungua macho kwasababu ya usingizi,leo kidogo anafumbua macho japo manjano bado yanaonekana.Bado amelezwa mpaka sasa
 
Last edited:
Ukishahudumiwa uko hospitali usisite kutuletea mrejesho was tatizo lilikua nini kwa msaada wa wengine pia
 
Mtazame km amebadilika rangi ujue km anapata oxgen ya kutosha.je analia sana??!!
Lakini ushauri usisikilize sn ushauri humu bali mpeleke kwa spealist wa watoto na sio kwingine.maana mtoto mdogo wanaweza kumwandikia gram 500 ya kidonge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom