Loafer tanzania
Senior Member
- Apr 28, 2017
- 162
- 184
Jamani mtoto anamiezi miwili lakini analia sana.. Si mchana si usiku.. Tumejaribu remedy mbalimbali ikiwemo kumtoa gesi tumboni kwa kumlazia tumbo lakini bado hali tete.. Sababu inaweza kuwa nn?
Pole sanaAnanyonya vizuri na kushiba?
Hiyo replay yako mbona kama haiko sehemu sahihi.Pole sana
Nmekosea mkuu.. Tusameheane..Hiyo replay yako mbona kama haiko sehemu sahihi.
Mkuu inawezekana hii ikawa ni sababu?Mpelekeni akawasalimie ndg zake kijijini kwa upande wa baba na upande wa mama pia. Tatizo litaisha immediately na utarudi hapa kushuhudia
MbAdilishe jina, hilo ulilompa amelikataaJamani mtoto anamiezi miwili lakini analia sana.. Si mchana si usiku.. Tumejaribu remedy mbalimbali ikiwemo kumtoa gesi tumboni ll kwa kumlazia tumbo lakini bado hali tete.. Sababu inaweza kuwa nn?
DefinitelyMkuu inawezekana hii ikawa ni sababu?
Mmh.. Ngoja tujaribu kumbadilisha jina. Bt mbona hajabatizwaMbAdilishe jina, hilo ulilompa amelikataa
Mimi ni baba mkuu..au unamaanisha si mwanangu ama?ukiachana na gesi tumboni huwa kuna vitu kama Majina-ila hii ipo kiimani na kama uishi na baba yake mpeleke kwa baba yake amuone.All in all haya yote ni imani tu Watoto wengi hulia sana ahadi watakapo maliza miezi 3
Uko mkoa gani?Jamani mtoto anamiezi miwili lakini analia sana.. Si mchana si usiku.. Tumejaribu remedy mbalimbali ikiwemo kumtoa gesi tumboni ll kwa kumlazia tumbo lakini bado hali tete.. Sababu inaweza kuwa nn?
Ananyonya lakini hashibi...muongeze na maziwa ya kopoJamani mtoto anamiezi miwili lakini analia sana.. Si mchana si usiku.. Tumejaribu remedy mbalimbali ikiwemo kumtoa gesi tumboni ll kwa kumlazia tumbo lakini bado hali tete.. Sababu inaweza kuwa nn?
Morogoro..Uko mkoa gani?