wasaa9
JF-Expert Member
- Jun 9, 2017
- 566
- 209
Habari zenu wanajf , kama kichwa cha habari kiavyojieleza hapo juu
Nina mtoto wa umri wa miezi minne sasa, jana majira ya saa moja jioni mtoto alisusa kunyonya ziwa kutoka kwa mama yake, hii ilitokea tu gafla baada ya mtoto kutoka usingizini
Hadi mida hii mtoto hataki kuona ata ziwa la mama yake, tumeshindwa kuelewa , madakitari ama watu wenye ufahamu ni hili swala naombeni msaada wa haraka I'll nieze kumsaidia mwanangu anahangaika
Nina mtoto wa umri wa miezi minne sasa, jana majira ya saa moja jioni mtoto alisusa kunyonya ziwa kutoka kwa mama yake, hii ilitokea tu gafla baada ya mtoto kutoka usingizini
Hadi mida hii mtoto hataki kuona ata ziwa la mama yake, tumeshindwa kuelewa , madakitari ama watu wenye ufahamu ni hili swala naombeni msaada wa haraka I'll nieze kumsaidia mwanangu anahangaika