Mwenda_Pole
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 281
- 66
nilikwenda jana kumtembelea my sister nikakuta mtoto wake mdogo wa miezi 11 hayupo sawa.
Anavidonda mdomoni vinafanya hawezi kula chakula kingine zaidi ya kunywa maziwa.
wakuu hii inaweza kuwa ni sababu ya kitu gani na vipi kuhusu tiba yake. kama kuna mtu anafaham hospital ya watoto anaweza kumpeleka naomba anipatie jina la hiyo hospital au dokta.
natanguliza shukrani
Anavidonda mdomoni vinafanya hawezi kula chakula kingine zaidi ya kunywa maziwa.
wakuu hii inaweza kuwa ni sababu ya kitu gani na vipi kuhusu tiba yake. kama kuna mtu anafaham hospital ya watoto anaweza kumpeleka naomba anipatie jina la hiyo hospital au dokta.
natanguliza shukrani