Msaada: Mtoto mchanga wa mwezi mmoja hajawahi kulia

Mtoto anakaribia kufikisha mwezi toka azaliwe lakini hajawahi hata kulia wala kusema. Nini tatizo? Tumejaribu hosptali nyingi wanasema hana tatizo!

Msaada.
Fuata wazee wamuangalie ulimi Kama ana udata chini ya ulimi , hospital nyingi watakuzingua na watakwambia hakuna tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kama hospital zote mlizoenda wamesema hana tatizo kwwnn mnalazimisha kuambiwa ana matatizo?

Hamuamini? Kwanini?...
Ndugu muombe tu Mungu na kuweni na imani kuna mtoto alizaliwa maeneo ambaye madaktari walisema hakuna mtoto tumboni ni maji tu, walipga ultrasound hamna kitu.

Wakafanya upasuaji kummwaga maji huyo mama, by suprise wakakuta mtoto na ana afya njema kabsa, sasahivi ninavoandka maneno haya, mtoto huyo ana miaka sita na hupo karelax tu hapa na hii likizo ya Corona.
 
Nashukuru sana mkuu kwa ushauri

Kwenye maombi unaenda kumwambiaje Mungu? Utaomba mtoto wako alie, manake mtoto wa mwezi mmoja hawezi kuongea.

Nakushauri kama umeeenda hosptal wamesema yupo sawa relax au nenda hosptali zenye professional zaidi kama MNH, Regency etc.
 
Unamaanisha Sauti ndio haitoki au muda wote anatabasamu tuu! Na je akikasirika anatoa ishara gani?
 
Mtoto anakaribia kufikisha mwezi toka azaliwe lakini hajawahi hata kulia wala kusema. Nini tatizo? Tumejaribu hosptali nyingi wanasema hana tatizo!

Msaada.
Habari Mkuu ulitatuaje hii changamoto, mtoto wangu ana week moja ana Hali Kama hii. Naomba tuwasiliane.
 
Mtoto anakaribia kufikisha mwezi toka azaliwe lakini hajawahi hata kulia wala kusema. Nini tatizo? Tumejaribu hosptali nyingi wanasema hana tatizo!

Msaada.
Huyo atafurahia maisha sana, kwake kila kitu anakiona ni kawaida.
 
Hajawahi kulilia nyonyo nlikua nacheki tu baada ya masaa flani nampa, akiwa na njaa anazidisha kunyonya kidole ndio sign (ananyonya kidole).

Akiwa mchanga namuamsha ananyonya alivokua kua nikiona ananyonya kidole kwa nguvu najua anahitaji kula
Mkuu huyo mtoto wako hana shida yeyote,
Utasumbuka bure na kupoteza gharama za hospital bila sababu.

Pengine amezaliwa na tabia ya upole na ukimya uliopitiliza..

Hivi mtu akiamua kujikalia kimya ni tatizo?
 
Mkuu huyo mtoto wako hana shida yeyote,
Utasumbuka bure na kupoteza gharama za hospital bila sababu.

Pengine amezaliwa na tabia ya upole na ukimya uliopitiliza..

Hivi mtu akiamua kujikalia kimya ni tatizo?
hana shida mtoto anaamua tu kijikalia zake kimya hataki makelele na walimwengu
 
hana shida mtoto anaamua tu kijikalia zake kimya hataki makelele na walimwengu
labda hakuridhika kuzaliwa kwnye family hyo mkuu.
Hebu jaribuni kumpeleka kwa bakresa au Mo kwa siku kadhaa ,

Halafu mjaribu kumchukuwa tena tuone kama hatopiga makelele.
 
Back
Top Bottom