Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

Kiaje mkuu
Msimu wa korosho huu ndio umeanza, tafta mtu katika amcos za wanunuz na wauzaji then utaomba utumbukize hela kwake mnunue mzigo pamoja maana hawaruhusu watu wasio wana chama kununua na kuuza. Hio mil.5 inaweza ikawa 15 in a few weeks to come.
 
Mimi niko Dodoma nataka nitoe mbao Mafinga naleta hapa mjini
Possible, unawez bro kwa distance ya kutok making to dodom haiwezi zidi m nauli na ukichukua mbao za m 4 c mbaya but kumbuk kunabiashara ukiw n mtaj mkubw ndivyo unavyopata faida.
 
Ninashukuru sana kwa hii topic, hata mimi nipo interested sana na kupanda miti na ni idea ya muda sasa, issue kwangu ni namna ya kuanza especially kupata shamba kwa ajili ya kupanda. Ningeomba kupata japo idea kama ninaweza kupata eneo huko njombe na kwingineko ukizingatia mimi ninaishi dar. Na price inakuwaje, pia gharama za miche kwa sasa ni kiasi gani na kuotesha plus kutunza. Please please mwenye data ninaomba
Bosi mm kwetu kuna mashamba yanapatikana yanauzwa mm mwenyewe ninaplan ya kuaza kupanda mwaka huu , pia kuna ambao wanauza mashamba yaliokwisha pandwa miti yenye zaid ya chini ya miaka minne.
 
Hi guyz,mm nahitaji saana kununua mbao aina yoyote ila zenye ubora namaanisha nahitaji mzigo mkubwa ikiwezekana kama ni mfanyabiashara mkubwa tunaweza tukaingia long contract aliyeteyari naomba tuwasiliane
Ebu njoo inbox tuyajenge
 
Mimi nafanja hiyo biashara natoa mbao mzigo wa semi (3500-4000pc) kutoka Makambako, Njombe, Matembwe. Na deal na mbao fupi (12ft) kufunga mzigo wa semi ina cost 10-15 million inategemea mchangajiko wako wa mbao. Usafiri una cost 2.7-3.3 million kutegemea na wapi unapakia mbao. Ushuru una cost 200000-800000 inategemea wapi unapakia mbao. Kibali 100000, wapakiaji 120000, risiti ya tra 300,000. So bila 16-20 million uwezi leta mbao Dar. Mimi nauza semi 1 kila wiki so kwa mwenzi semi 4 yani kila wiki nashusha mbao.

Naweza uza hivyo coz mimi niko kati ya top three ya wauza mbao Buguruni wenye bei ya chini. Wateja wangu wengi ni wauza mbao kwenye maduka madogo so wateja wa 5-8 mzigo umeisha. Pia na mashine ya kuchana na ya kuranda na pipa la kutreat mbao. So mteja kwangu hana usumbufu. Kingine mm na semi trailer yangu 124L 420 scania so kutoka dar napakia mbolea naenda kushusha njombe then napakia mbao zangu kuja dar every wk.

The trick ni kuuza mbao njingi kwa bei chee than kuuza mbao chache kwa bei ya juu. Sikosi 3.5 million kwa kila mzigo jani per wk. kwa mwezi na 14. Biashara hii inaitaji moyo coz its risky nakujituma. Bila 30 million uwezi hii biashara. Mtaji wangu uko kweje 200 million na nina rejesho la 4 million kila mnth crdb bank for three year its not a joke. Nikujituma, kuomba mungu wako na shule kichwani.
 
Back
Top Bottom