Msaada: Mshitaki kukosa nyaraka wakati wa kutoa ushahidi

abagabo

Senior Member
Jun 4, 2014
155
168
wajameni, kuna kesi ya jinai inaendelea hapa tunduma. Kuna jamaa ana kabiliwa na kesi ya jinai inayohusu kufoji. Katika kesi hii imebainika kuwa mlalamikaji aliwasilisha nakala ya document inayodhaniwa kuwa ilifojiwa, na taarifa zilizopo ni kwamba ile doc yenyewe inadhaniwa ilifojiwa ilipotea. Hivyo hata mwanasheria wa jamhuri hajui kuwa forged document mlalamikaji hana. Je hivi siku ya kutoa ushahidi itakuwaje?, je ikitokea mtuhumiwa akataka kuiona ile forged doc wanayodai aliifoji na hisipatikane sheria inasemaje?, je suala la forged doc kutooneka laweza kumsaidia mtuhumiwa? asante
 
wajameni, kuna kesi ya jinai inaendelea hapa tunduma. Kuna jamaa ana kabiliwa na kesi ya jinai inayohusu kufoji. Katika kesi hii imebainika kuwa mlalamikaji aliwasilisha nakala ya document inayodhaniwa kuwa ilifojiwa, na taarifa zilizopo ni kwamba ile doc yenyewe inadhaniwa ilifojiwa ilipotea. Hivyo hata mwanasheria wa jamhuri hajui kuwa forged document mlalamikaji hana. Je hivi siku ya kutoa ushahidi itakuwaje?, je ikitokea mtuhumiwa akataka kuiona ile forged doc wanayodai aliifoji na hisipatikane sheria inasemaje?, je suala la forged doc kutooneka laweza kumsaidia mtuhumiwa? asante
Mahakama ita adjourn kesi mpaka nyaraka itakapoletwa. Lakini ni lazima aiombe mahakama impe muda wa kwenda kuitafuta na kuileta. Kama ikipotea mazima hapo hakuna kesi coz in law burden of proof is belong the prosecution side

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahakama ita adjourn kesi mpaka nyaraka itakapoletwa. Lakini ni lazima aiombe mahakama impe muda wa kwenda kuitafuta na kuileta. Kama ikipotea mazima hapo hakuna kesi coz in law burden of proof is belong the prosecution side

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante. Kwahiyo kwa issue kama ya kushitakiwa eti umefoji document fulani, lazima document hiyo iletwe mahakamani, na kama haipo mshitakiwa anaweza kuomba kesi ifutwe au anaiachia korti ndo iamue la kufanya?
 
Asante. Kwahiyo kwa issue kama ya kushitakiwa eti umefoji document fulani, lazima document hiyo iletwe mahakamani, na kama haipo mshitakiwa anaweza kuomba kesi ifutwe au anaiachia korti ndo iamue la kufanya?
Kama document isipoletwa mahakama itaendelea na taratibu zingine kwa hio mpaka hapo ushahidi utakuwa haujajitosheleza na mshitakiwa atakuwa na uwanja mpana wa kufanya utetezi. Kwa lugha nyingine hio kesi itakuwa imeisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom