Qulfayaqul
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 480
- 84
Wana jamii naomba kujuzwa mshaara wa unicef katika level ya gs6. Hawa jamaa nimefanya nao inteview na nadhani tunaelekea kuajiliana nao.
mi nadhani hili swali sio sehemu yake. ulitakiwa kujua kabla ya interview. sasa labda kama mna bargain now salary in u sign contract.
Mr Misifa asante kwa taarifa!Wana jamii naomba kujuzwa mshaara wa unicef katika level ya gs6. Hawa jamaa nimefanya nao inteview na nadhani tunaelekea kuajiliana nao.
mi nadhani hili swali sio sehemu yake. ulitakiwa kujua kabla ya interview. sasa labda kama mna bargain now salary in u sign contract.
Huwa hakuna kubargain UN mishahara ipo wazi kwenye mtandao sana sana labda step ndo zinaweza tofautiana kulingana na uzoefu
Kwa GS 6 tuseme step 5 utapata si chini ya milion 2.5 basic, hivyo hongera yako.
mtumie no yako kwa pm ww!!!!!mndebile mi naomba msaada zaidi naona kama ww una ushauri mzuri naomba tuwasiliane unijuze zaidi unaweza kunipa mawasiliano yako kama hutajali?
mtumie no yako kwa pm ww!!!!!
hatari!! Hii kazi inachukuliwa na watu wa course na level gani?Take home inasimama kwenye 1.6M