MSAADA: MSC ya computer Science au ICT

Kisendi

JF-Expert Member
Jan 29, 2009
699
178
Nataka kusoma Master on my own Sponsor...chuo gani wana offer hii kozi..!! Ila sipendi kusoma UDSM kwa sasa...wanabaniana sana na si kana kwamba nikilaza.
 
Nataka kusoma Master on my own Sponsor...chuo gani wana offer hii kozi..!! Ila sipendi kusoma UDSM kwa sasa...wanabaniana sana na si kana kwamba nikilaza.

Piga MSc in Computer Science nadhani Mzumbe wanatoa hii kozi. Nimependekeza kozi hiyo kwa kua ina uwanda mpana wa mambo maana hata programming utazipiga kwa undani zaidi hasa java au Cpp na kozi nyinginezo kama Artificial Intelligence, Multimedia Systems, Advanced Networking, Distributed db, Db Systems, nk nk. Hebu pitia tovuti ya Udom nao huenda wakawa wanaitoa. Asante.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom