Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,797
- 156,922
Pole, jikaze umuage mapemaKipindi cha nyuma mawasiliano haipiti siku bila kukutafuta zaidi ya mara tano au sita yaani asubuhi, mchana, jioni na usiku mtaongea mpka unachoka lakini saivi ni morning greetings atakucheki na usiku kabla ya kulala atanicheki kunisalimia na kunitakia Gu9t
Lakini nikimpigia simu ikikata hanipigi mpka nijiunge tena nimpigie tofauti na zamani salio langu lilikata basi huyo ananipigia simu anaongea na mimi,
Siku ikitokea anakutafuta ile sana basi baada ya mida tukishamaliza kuongea atanipiga kizinga cha vocha au hela ya kula
Nifanye nini ndugu wana jf nashidwa kuelewa mchumba hana time sana na mimi siku hizi nifanye nini ili kumfikishia ujumbe mpenzi wangu ujumbe aelewe kuwa amebadilika naumia anavyojiweka mbali na mimi