Msaada: Mpangaji mwenzangu ni mchawi

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Jul 21, 2015
2,567
416
Wakuu naishi kota za kupanga hapa Changombe, upande ninaokaa kuna jirani yangu chumba cha jirani ni mama mtu mzima hivi ni mshika dini sana sana.

Cha ajabu juzi nimeamka saa 8 usiku na kutoka nje ghafla nikamkuta mama huyo akiwa juu ya bati uchi wa mnyama huku kashika ngozi ya fisi na kibuyu alikua kajipaka masizi na kavaa hirizi iliyokua inapumua.

Aliponiona akageuka paka na kupotea.Nataka kuhama hapa.
 
akiwa mchawi wewe shika dini! hakuna cha kuhama!

kama wewe ni rc, hakikisha unasali kabla ya kulala, mwagia nyumba/chumba chako maji ya baraka, weka rozari na vitu vingine ndani. lakini fanya yote hayo kwa kumuamini mungu yupo na huyo mama hatokupata

ataishia uangalia tu kwako
 
Wakuu naishi kota za kupanga hapa Changombe, upande ninaokaa kuna jirani yangu chumba cha jirani ni mama mtu mzima hivi ni mshika dini sana sana.

Cha ajabu juzi nimeamka saa 8 usiku na kutoka nje ghafla nikamkuta mama huyo akiwa juu ya bati uchi wa mnyama huku kashika ngozi ya fisi na kibuyu alikua kajipaka masizi na kavaa hirizi iliyokua inapumua.

Aliponiona akageuka paka na kupotea.Nataka kuhama hapa.
Na wewe Mwanga haina haja ya kuhama
 
Ulionaje hirizi ikipumua.tena usiku.A big question mark.Anyway mchawi hatorokwi.Kama issue ni wewe, atakufuata popote ulipo.The answer is Jesus Christ.Otherwise you will fall pray to a witch where ever you are.
Wakuu naishi kota za kupanga hapa Changombe, upande ninaokaa kuna jirani yangu chumba cha jirani ni mama mtu mzima hivi ni mshika dini sana sana.

Cha ajabu juzi nimeamka saa 8 usiku na kutoka nje ghafla nikamkuta mama huyo akiwa juu ya bati uchi wa mnyama huku kashika ngozi ya fisi na kibuyu alikua kajipaka masizi na kavaa hirizi iliyokua inapumua.

Aliponiona akageuka paka na kupotea.Nataka kuhama hapa.
 
Wewe sasa unamdanganya mwenzio.Maji ya baraka na Rozari?!Kweli wajinga ndio waliwao.
akiwa mchawi wewe shika dini! hakuna cha kuhama!

kama wewe ni rc, hakikisha unasali kabla ya kulala, mwagia nyumba/chumba chako maji ya baraka, weka rozari na vitu vingine ndani. lakini fanya yote hayo kwa kumuamini mungu yupo na huyo mama hatokupata

ataishia uangalia tu kwako
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom