Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 10,656
- 21,078
Mizimu na tunayoibeba, mfano ukitembea na mwanamke Malaya , unaweza pata mizimu ya umalaya
Ukitembea na mwenye bahati na wewe unakua tajiri? Kama hivyo basi watu waanze umalaya walale na wenye bahati nao watoboe.
Haya mambo yenu yakusadikika hayana uhalisia kwenye maisha, ni story za vijiweni kama story zingine zote yani pure nonsense.