Wapendwa wanajf.
Habari za mda huu. Nnaomba kwa yeyote anaefahamu anijuze.
Mimi natarajia kujiunga na chuo mwaka huu na nmepata mkopo kutoka bodi ya mkopo, kinachonisumbua ni hiki. (1)hizo fedha ntazipata kwa njia gani na wakati hawana accaunt no. yangu? (2)chuo cha private ntasajiliwa bila fedha?
Habari za mda huu. Nnaomba kwa yeyote anaefahamu anijuze.
Mimi natarajia kujiunga na chuo mwaka huu na nmepata mkopo kutoka bodi ya mkopo, kinachonisumbua ni hiki. (1)hizo fedha ntazipata kwa njia gani na wakati hawana accaunt no. yangu? (2)chuo cha private ntasajiliwa bila fedha?