Kwahiyo unabisha?Huu uzi una wachangiaji wajinga sijawahi kuona. Kama kitu hujui kwanini usikaw kimya. Unamwambia mwenzio eti akinyonyesha mtoto atakua tahira au atakufa kweli jamani.
Kwani na wewe ni mmoja wa wajinga? Maana sijaku quote umeleta kiherehere. Kama huna taarifa tafuta taarifa kama huna maarifa tafuta maarifa. Uzuri ujinga unaweza kuisha na kufutika kama utatafuta taarifa na maarifa.Kwahiyo unabisha?
Aisee, janamke gani unakua LIPUMBAVU namna hii...???Kwani na wewe ni mmoja wa wajinga? Maana sijaku quote umeleta kiherehere. Kama huna taarifa tafuta taarifa kama huna maarifa tafuta maarifa. Uzuri ujinga unaweza kuisha na kufutika kama utatafuta taarifa na maarifa.
Ciao!
Mkuu upo kwenye point gani anakufa au hakuna madhara???Aisee, janamke gani unakua LIPUMBAVU namna hii...???
Watu tumesomea elimu ya uzazi miaka mitano tunashinda ma-wodini halafu unachongoa domo lako hapa.
Hongera mkungaAisee, janamke gani unakua LIPUMBAVU namna hii...???
Watu tumesomea elimu ya uzazi miaka mitano tunashinda ma-wodini halafu unachongoa domo lako hapa.
Huu uzi una wachangiaji wajinga sijawahi kuona. Kama kitu hujui kwanini usikaw kimya. Unamwambia mwenzio eti akinyonyesha mtoto atakua tahira au atakufa kweli jamani
bora uambiwe ukweli kuliko kuzunguruka na hatiaye kutiwa moyo ambao haupo,si afya njema kumnyonyesha mtoto mchanga huku mama yake akiwa na kibendi kingine,anatakiwa atumie maziwa mbadala la sivyo huyo mtoto hatakuwa kama watoto wengine,ukuaji wake lazima utakuwa na kasoro,hutaki acha ila ipo siku utanikumbuka
Lazima afe.Mkuu upo kwenye point gani anakufa au hakuna madhara???
Easy mkuu.Lazima afe.
1. My education backgroundEasy mkuu.
Basis ya hii "hukumu" yako ni ipi mkuu?
Hizo ndo zimekupa conclusion kuwa huyo mtoto akinyonyeshwa lazima atakufa? Vipi kuhusu mamia ya watoto ambao walinyonyeshwa na mama zao na hawakufa? (Baadhi ya wamama wametoa ushahidi kwenye uzi huu huu). Mimi pia nilinyonya maziwa ya mama yangu akiwa mjamzito baada ya mama yangu kushika ujauzito wakati nikiwa na miezi 10. Na hakuacha kuninyonyesha, na sijafa.1. My education background
2. My six years experience in Lactating-mothers clinics.
Karibu Ellite Clinic hapa Msasani tukuoe elimu bure.
Punguza kupiga mashine aisee daah.Habari wadau wa jamiforums,
Nilikua naomba ushaur wa kitaalam mke wangu kabeba mimba wakati bado Ana mtoto wa mwaka mmoja
Baadh ya watu wazima wanaamin kua mama akibeba mimba basi hatakiw kumnyonyesha mtoto naombeni msaada wa Elim jamani
Huyo mtoto umuite bahati mbaya piaIlitokea bahat mbaya
Anadhalilika vip wakat ni mke wangu na ni mimba ya ndoaPunguza kupiga mashine aisee daah.
Mnadhalilisha sana wanawake nyie.
watoto wa chuoHuu uzi una wachangiaji wajinga sijawahi kuona. Kama kitu hujui kwanini usikaw kimya. Unamwambia mwenzio eti akinyonyesha mtoto atakua tahira au atakufa kweli jamani.
anadhalilika na mimba yake?Punguza kupiga mashine aisee daah.
Mnadhalilisha sana wanawake nyie.
Mkuu yawezekana huwa huhudhurii Clinic, wanawake wanadhalilika sana.Aibu ya Nini mtoto tayari Ana mwaka
Unajua maana ya Saddist?anadhalilika na mimba yake?
saddist
sijuiUnajua maana ya Saddist?