Inaonekana wewe uko serious sana na mkeo.jifunze kubehave kwa mkeo kama huyo shemeji yake.Mke wangu alianza Kama kuwa na matani mengi yasiyo ya kawaida na shemeji yake.
Nikawa mzito kuchukua hatua nikiamini anajitambua..ikafika hatua sasa usiku hanipi penzi yapata wiki 2 anadai hana feelings mara kachoka.
Kiujumla kila story tunayopiga lazima amtaje huyo ndugu yangu. Nini maanake?