DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,907
- 2,092
Kuna wanaume sana roho za ajabu sanaAcha uchoyo na roho mbaya
Kuna wanaume sana roho za ajabu sanaAcha uchoyo na roho mbaya
Wanunulie mpira wa miguu, magari na hata wewe cheza nae ili umrudishe kwenye mstari.Mkuu mtoto kashaadapt tabia za kike na mama mtu hana habari
Call or dm me wanna tell you a thingahsante mitandao, wanaume walifanikiwa sana kuficha vitabia vyao zamani, siku hizi aaah wanayamwaga tu, mlifanikiwa kuiaminisha jamii kuwa wanawake ndiyo wenye tabia hizo peke yao.
Huyo ashakua Mwanao (technically). Wanawake wa kichaga pasua kichwaHabari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalisha alikuja akaoa mwanamke mwingine
Hapo labda atoe Talaka kwa mkewe kwa Hali ilivyo huyo kashapelekewa mtoto wa shemeji amlee.Una element za uchoyo. Kama unaweza kumsaidia msaidie tu unless uwe huna uwezo au mtoto ana tabia ya kishenzi na huko kulia kwake ni watoto ndivyo walivyo.
Au mwisho wa yote mkataze asije kabisa kama humuhitaji kwako kuliko kuishi nae huku unachukia
Asee malalamiko kama haya nilitegemea yatoke kwa mwanamke...... Mi mchoyo Ila umenizidi mbali.... Angekua huyo mtoto ni mtu mzima sawa pengine anaweza akawa na Mambo yake.... Ila ushasema mtoto na pengine unaeza Kuta anakuona kama baba yake kabisa afu we unakuja kumfungulia Uzi huku...... Eti ni sahihi kukaa na mtoto wa dada yako... Kweliiii??? Hili nalo swali???? Kama unashindwa kukaa na mtoto wa shemeji yako hata kinafki akiwa hai, siku akitangulia mbele za haki utamkumbuka hata uyo mtoto??? Mungu atusameheHabari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalisha alikuja akaoa mwanamke mwingine
Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake.. mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila Ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake
Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani hamuhudumii.
Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa, Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo cha kuja kucheza na mwenzake
Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali ya kuwa baba yupo na anajichana na maisha?
Huwezi lazimisha ampende.Kuwa baba kwa watoto wote bila kujali ni wa kwako au la, inaelekea humpendi kabisa huyo mtoto mwingine..acha ubaguzi.
Ujaeleweka mkuuDunian tunatofautiana mm naishu ya hivyo nilimfata mwenyewe na nalipa hadi ada ,msiwe mnaoa mkiwa hamjaamua kuoa kikweli kweli huyo ni mwanao kabisa ukikua utajua,wewe unaweza ruhusu baba mkubwa aliemuoa dada yake na mamayako ateseke? Jibu unalo ,upendo utaompa huyo mtoto utakurudia
Unajitetea tu baada ya watu kukupopoa una roho mbaya!! Kama lengo lilikua hilo ungeandika kwenye uziMkuu tatizo sio kuishi tatizo ni kuwa mtoto kashaanza kuadapt tabia za kike na mama tu haoni shida kwake
Ndo mpango wa dada hyo.kubebeshwa mzigo kwa huyo mtoto kukaa kwake jumla jumla..
Jamaa katoa mrejesho .Kwani walimzalia yeye mambo ya kuzaa kwenu kuje kutusumbua ndugu huo ubwege haukubariki.Mapenzi mfanye nyie miuno mkate nyie akitokea mtoto mniltee alooo tutatafutana ubaya.
Ila mwanaume angekuwa na mtoto wa mwanamke mwingine amlete kulelewa hapo mngetarajia mtoto apendwe na mama wa kambo.Huwezi lazimisha ampende.
Kumbuka huyo kamuoa mdogo wa dada yange huyo single mother.
Huyo mtoto ana baba yake kabisa wa ukoo wa huko ambao haujulikani.
Hakuna undugu apo.
Umesema pekeakoWote tuseme kwa pamoja mleta mada 'ANA ROHO MBAYAAAAA'
Ni wao sio mimi.Ila mwanaume angekuwa na mtoto wa mwanamke mwingine amlete kulelewa hapo mngetarajia mtoto apendwe na mama wa kambo.
Ndo muone kawaida. Mtoto kupendwa sio lazimaNi wao sio mimi.