malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,704
- Thread starter
- #41
Muha pure Ila aliechanganya mama mnyamwezimuha pure au mmanyema wa kigoma?
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Muha pure Ila aliechanganya mama mnyamwezimuha pure au mmanyema wa kigoma?
Nenda naye taratibu, atachoka na ataacha mwenyewe tu. Ukimkataza unaongeza mafuta! Jaribu kuwa kama mchagga, unafiki! Msifie sana kila wakati hadi aone kero ataachaNimemuelewa vizur tu Ila kusema kunavitu alivikosa wakat wake Sasa anavipata Ila Sasa haiwez kuwa too much kias hiki
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Muha katoa wapi tabia za hivi???? tatizo ni wew hapo
Habari wakuu,
Msaada kidogo wa mawazo, mke wangu kila harusi atakayoalikwa na kuchangia lazima atashona sare inayovaliwa katika harusi hiyo. Hata ziwe harusi 6 kwa mwezi zote atavaa sare.
Nimekuwa nikishauri na kukanya lakini wapi, amekuwa akifanya kwa siri na kuhakikisha lazima avae sare ya kila harus.
Wakuu mchango wenu wa mawazo wa kushughulika na mke wa namna hii.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Unampoteza mwenzio...!! Jamaa awe straight yaniiNenda naye taratibu, atachoka na ataacha mwenyewe tu. Ukimkataza unaongeza mafuta! Jaribu kuwa kama mchagga, unafiki! Msifie sana kila wakati hadi aone kero ataacha
Inatesa sanaNi mlevi wa nguo, kuvaa na kusifiwa! Hiyo hulka ni beyond your control. Ikubali muweze kuishi kwa amani na furaha lakini muelekeze kwa upole kwamba inafilisi kibubu cha familia.. Nilishawahi kuwa na mtu wa namna hiyo aisee hiyo hali inatesa mno
Niliwah pita home nikakuta maza kawaachia madogo elfu 2 waitumie kwa siku tano,yeye kaenda kwenye shuhuri na kasuka nywele za gharama nilichoka,nikawaza kuwa maza etu na umri wote huo bado anapenda kupata sifa za umependeza
Gharama za nani?Habari wakuu,
Msaada kidogo wa mawazo, mke wangu kila harusi atakayoalikwa na kuchangia lazima atashona sare inayovaliwa katika harusi hiyo. Hata ziwe harusi 6 kwa mwezi zote atavaa sare.
Nimekuwa nikishauri na kukanya lakini wapi, amekuwa akifanya kwa siri na kuhakikisha lazima avae sare ya kila harus.
Wakuu mchango wenu wa mawazo wa kushughulika na mke wa namna hii.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Mkuu nimesema Sana nakukanya sana...sio mwanamke wa pwaniUnashindwaa kumwambia mkeo kuwa hii tabia ni ya kishenzii??? Sasa nani kaolewa humo ndani?? Sema kama ni mwanamke wa pwani bhasi polee
Niko straight ila mke kawa kichwa ngumuUnampoteza mwenzio...!! Jamaa awe straight yanii
Pole sana mke ni Mali ya familia, jamii na aina ya ndoa mfano wachunaji, pia kuna washenga sijui umepitia ngazi zipi hadi hapo. Pole sana mwamba, pesa anatumia zako, zake, anatoa katika miradi yenu? Unahistoria yoyote ya kufumania akiomba pesa Kwa michepuko na je ana history yoyote ya kuchepuka? Ruhusa ya kuhudhuria hizo harusi unampa au anajiamulia?!Habari wakuu,
Msaada kidogo wa mawazo, mke wangu kila harusi atakayoalikwa na kuchangia lazima atashona sare inayovaliwa katika harusi hiyo. Hata ziwe harusi 6 kwa mwezi zote atavaa sare.
Nimekuwa nikishauri na kukanya lakini wapi, amekuwa akifanya kwa siri na kuhakikisha lazima avae sare ya kila harus.
Wakuu mchango wenu wa mawazo wa kushughulika na mke wa namna hii.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Anakuaje kichwa ngumu chini ya mamlaka?
Anatumia zangu,Hana historia yakuchepuka na pia ruhusa Nampa mwenyewePole sana mke ni Mali ya familia, jamii na aina ya ndoa mfano wachunaji, pia kuna washenga sijui umepitia ngazi zipi hadi hapo. Pole sana mwamba, pesa anatumia zako, zake, anatoa katika miradi yenu? Unahistoria yoyote ya kufumania akiomba pesa Kwa michepuko na je ana history yoyote ya kuchepuka? Ruhusa ya kuhudhuria hizo harusi unampa au anajiamulia?!
Na pia akiwa harusini ni mwanamke wa tabia gani, ana dalili za michepuko, na je upambanaji wake kutafuta pesa unawiana na matumizi? Anapata wapi hizo pesa?Hapo huna jinsi tayari huo ushakuwa ulevi wake! Suluhu yake haitaki kukurupuka, anza na kutrack background yake ni vitu gani alivipenda maishani na akavikosa kwa wakati wake
Anakuaje kichwa ngumu chini ya mamlaka?